Uhuru - Umoja - Ukusanyisho: Maoni
Michael Hardt


Wakati Mungu alimaliza kazi ya uumbaji ‘tazama kilikuwa kizuri sana’ (Mwaznzo 1 :31), lakini shetani nyuma kidogo akaharibu uumbaji kwa kudanganya mutu kwa kumupeleka kwa zambi (inaleta mara moja laana). Wakati Mungu alihahidi ya kwamba kichwa cha nyoka itapondwa na uzao wa mwanamuke Mwanzo 3 :15). Shetani akakusanya nguvu zake juu ya ‘uzao wa mwanamuke ‘. Wakati Roho Mutakatifu alipofunga waamini wote kuwa mwili mumoja (Matendo 2 na 1 Wakor 12 :13) shetani alitafuta kuharibu mwili ule kwa kuingiza magawanyiko, mapigano, na matengano. Bwana Yesu ambaye maisha yake katika mapenzi ya ‘kukusanya pamoja watoto wa Mungu waliosambazwa mbali’ (Yoani 11:52). Adui yake anafanya yote kwa kuharibu ushuhuda wazi ya hali ya kazi ya Bwana: Umoja wa taifa lake.
Kwa jumla, njia mbili zinachaguliwa wazi wakati kuko kuacha umoja katikati ya wakristo, inakuwa kama ile : Ukusanyisho kwa njia ingine, na pengine uhuru vile. Picha hii inarejea matokeo wazi ya misingi katika hali mbalimbali (kupokea, hukumu kanisani, kuanja kwa kanisa mupya na kazalika).
MAANDIKO YANASEMA NINI?
Mafundisho inaeleza misingi tofauti bila wazo ingine.
Mafundisho ya Paulo juu ya mwili mumoja (1Wakor. 12 : 12- 13) na Kristo ni kichwa (Waefeso 1 :22-23, Wakolosayi 1 : 18) ni pigo la kweli iliyopelekwa kwa kuanja ukusanyisho (inasimama juu ya wazo ya mutu mumoja kuchaguliwa ao utawalo) kwa hivi wazo ya miili mingi ya pahali penye uhuru (yenye kusimamisha Kristo kama ni kichwa ya miili mingi …). Mwili inakuwa ni kanisa lote (waamini wote katika dunia nzima (Waefeso 1 :22, Wakolos 1 :18) si wachache wanaojikusanya kwa pahali pamoja. Wazo hili inatokea kwa udanganyifu wa tafsiri ya Wakorinto 12 :27 ‘ninyi ni mwili wa Kristo na viungo huu mumoja mumoja (sivyo kwa kila mutu kuitwa mwili wa Kristo). Ikiwa mumekuwa kikundi cha wafransa, mutachukuwa tabia ya mufransa lakini hamutaunda taifa lote kwa ninyi wenyewe ‘kusanyiko, kikundi cha waamini kinaonyesha tabia ya mwili wa Kristo lakini kikundi hiki hakiwezi kuunganisha mwili wa Kristo kwa jumla.
Maneno ya Bwana:
Katika Mathayo 18 : 18 inakataa kabisa wazo la hukumu kanisani iliyo fanywa na kusanyiko inakuwa na uwezo ndani ya pahali pale “kweli ninawaambia ninyi vitu vyovyote munavyofunga duniani vitafungwa mbinguni; na vitu vyovyote munavyofungua duniani vitafunguliwa mbinguni”. Bwana alisema “wawili ao watatu wakikusanyika kwa jina lake” (shairi 20) na mamlaka yake. Kama tukitenda mbali na mipango hiyo, ile inaonyesha wazi ya kwamba sisi hatujui kama kusanyiko ilikusanyika kwa jina la Bwana. Waamini wanapokusanyika kwa jina lake hawako bule lakini Bwana aliwapa ile mamlaka (kwa sababu kusanyiko likifanya mubaya na ikiwa ilikusanyika kweli kwa jina la Bwana halafu Bwana atawaonyesha pahali walipodanganyika na udanganyifu huu utakaripiwa).
Le livre des Actes des apôtres oú nous trouvons le début de l'histoire de l'Assemblée (et bien sûr des assemblées locales), inahakikisha utendaji wa umoja mbele hata mafundisho isimamishwe (Matendo 8 : 14-17) inaonyesha kwamba Yerusalema hakuona vibaya kwa yale yaliyo pita katika Samaria. Njia nzuri ya umoja inaandikwa katika ukarasa huu.
Mwenendo muzuri inafatwa ku Antiokia (Matendo 11 : 19-26). Kwa mbali kipindi cha 15cha Matendo kinaonyesha namna waamini wa jimbo mbalimbali walijikaza kwa kukamata mipango juu ya maswali ya mafundisho (hasa kwa jambo “ wokovu inayosimama juu ya tohara”). Ikiwa makanisa ya pahali yalikuwa ya kujitegemea hawangelipata ukomo wa swali hili.
Mifano hii inaonyesha umuhimu ambao ndani yake tunapashwa kujikaza kwa “kuchunga umoja wa Roho kwa kifungo cha salama” (Waefeso 4:3).
Swali la mwisho inaonekana : kama neno la Mungu linafunga wazi ya kwamba njia ya kufwata kwa kufikia umoja, kwa nini kupatikana hali ya kutereza kwa uhuru ao kwa ukusanyisho ? Inaonekana kama habari mbili kubwa.
Habari ya kwanja ni kwa kuchunga umoja wa Roho inayohusu unyenyekevu : Ile inawezekana kufanywa “kwa unyenyekevu wote na upole, kwa uvumilivu, mukichukuliana katika mapendo” (Waefeso 4 : 2). Ni jambo kubwa la kupendeza mwili kwa kufwata kanuni ya viongozi chache ( sauti yao mara ingine inasikiwa vizuri kuliko sauti ya Bwana maana yake haiwezekani kungojea sauti ya Bwana, maana yake haiwezekani kungojea Bwana ) ao kutangaza utegemeo wake (“utawalo” ao “musingi (sheria)” ya mwenyewe “).
Habari ya pili inaambatana na 1 Wakor 12:12 “na vile pia ni Kristo” : Mwili mumoja unafungana na kichwa mbinguni kinaitwa ‘Kristo’. Kama kusanyiko zinatenda katika umoja kuna maoni ya kweli ile. Shetani antaka kugeuza kwa usimamizi ya uongo « Kristo ». Matengano ndani ya makanisa inaleta usimamizi mubaya ndani ya mwili wa Kristo. Inaonekana kama usimamizi ya mwili pahali viungo havishikanishwe na kichwa.
Pahali pengine, wakati viungo vya Kristo vinafanya kwa nia moja, inakuwa wazi ‘viungo vya mwili ule mumoja vilivyo vingi, ni mwili mumoja’ (1 Wakor 12:12).
Kusudi la kartasi hii si kwa kubeua ao kushitaki waamini wanaosikia tofauti la kweli ya kanisa. Lakini kila Mukristo ni musimamizi kwa kuchagua misingi yenye anapenda kufwata. Kusudi ni kuwaza kwa misingi inayokuwa (uhuru, umoja, ukusanyisho) na kupambanua ‘yenye maandiko yanasema’ (Waroma 4:3 na Wagalatia 4:30).